Mgambo wa Manispaa ya Ilala wakipakia maji waliyowanyang'anya wafanyabiashara katika Kituo cha daladala cha Akiba Dar es Salaam leo. Pamoja na kauli ya Waziri wa Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana, Profesa Juma Kapuya, kuwataka mgambo hao kutowapora biashara zao wamachinga, lakini Mgambo hao wanaonekana kupuuza agizo hilo ambapo siku hizi mgambo hao wamekuwa wakifanya kama mradi kwani wamekuwa wakibeba mabegi kwa ajili ya kuweka biashara wanazowapora Chinga na kutokomea nazo bila kufikisha mahala husika.
Idadi ya vifo kutokana na kuporomoka kwa jengo Afrika Kusini imeongezeka
hadi 19
-
Idadi ya vifo kutokana na kuporomoka kwa jengo nchini Afrika Kusini
ilipanda hadi 19, mamlaka ya manispaa ilisema Jumapili, huku watu 33 wakiwa
bado hawa...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment