Dereva wa Baiskeli ya miguu mitatu (Guta), akipiga simu kuomba msaada kwa wenzake baada ya kuelemewa na mzigo wa chupa za maji alizokuwa amebeba, kufuatia guta lake kupata pancha na mzigo huo kuelemea upande mmoja mbovu jambo lililomfanya hadi kukatikiwa na ndala alizokuwa amevaa na huku mzigo huo ukizidi kwenda chini, katika mitaa ya Posta Barabara ya Bibi Titi, jijini Dar es Salaam leo.
BETI NA MERIDIANBET MECHI ZA LEO
-
IKIWA leo hii ni Jumapili tulivu kabisa, Meridianbet wanamkwambia leo ndio
siku ya kupiga pesa kirahisi sana kwani huku kuna kila kitu kuanzia ODDS
KUB...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment