Henry Joseph wa Kilimanjaro Stars,(kushoto)akijaribu kumpita mchezaji wa timu ya Rwanda, Jean Iranz, wakati wa mchezo wa robofainali ya nne ya Chalenji uliofanyika katika Uwanja wa Taifa Dar es Salaam mchezo iliomalizika jioni hii, ambapo Kilimanjari Stars imeibuka na ushindi wa bao 1-0, lililofungwa na beki wa kulia wa Stars, Shadrack Nsajigwa kwa mkwaju wa penati kipindi cha pili.
WAZIRI CHANA ASISITIZA-AJENDA YA KULINDA WANANCHI DHIDI YA WANYAMAPORI
WAKALI NI WAJIBU WETU SOTE
-
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb)
amezielekeza halmashauri zote nchini kuchukua jukumu la kulinda wananchi
dhidi ya wa...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment