Mwandaaji wa Muziki, John Water (kushoto) akimkabidhi zawadi ya Gitaa aina ya Aucustic lenye thamani ya Sh. 200, 000, msanii wa muziki wa kizazi kipya, Abas Hamis ’20 Pacent’ ikiwa ni sehemu ya kutambua mchango wa msanii huyo anayeendelea kufanya vizuri katika anga za muziki wa Bongo Flava. Makabidhiano hayo yalifanyika jana kwenye Duka la City Music Sound lililopo Mtaa wa Uhuru Dar es Salaam.
WAZIRI MKUU MAJALIWA ATEMBELEA BANDA LA MAONYESHO LA TTCL VIWANJA VYA BUNGE
DODOMA
-
Na Mwandishi wetu Dodoma
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa (Mb),
ametembelea Banda la Maonesho la Shirika la Mawasiliano...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment