Washiriki wa Onyesho la Mavazi, wakipita jukwaani wakati wa onyesho hilo la ‘Kempinsk Showcase’ lililoandaliwa maalum kwa ajili ya kuinua vipaji vya wabunifu wa mavazi Chipukizi yaliyofanyika kwenye Hoteli ya Kempinsk jijini Dar es Salaam jana. Wabunifu walioshiriki onyesho hilo ni Caroline, aliyetumia mavazi ya Vitenge na Vitambaa vyeusi, pamoja na Dyana magese, aliyetokea Mkoani Morogoro, aliyeonyesha zaidi mavazi ya asili pamoja na nguo za Kichina.
CMA , TIC Yatekeleza Maono ya Rais Samia ya Kuboresha Mazingia ya Uwekezaji
-
Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) Usekelege Mpulla
(kushoto) na Mkurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) Gilead
Teri, wakib...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment