Habari za Punde

*WATALII WATAMANI MIHOGO YA KUCHOMA ZANZIBAR

Baadhi ya Watalii kutoka nchi za Ulaya wakipata maelezo kutoka kwa mchuuzi wa mihogo ya kuchoma kuhusu chakula hicho wakati walipopita kwenye mtaa wa mchambawima mjini Zanzibar leo mchana wakiwa katika matembezi ya kujioneka sehemu mbalimbali za Kihistoria za Mjimkongwe. Picha na Matin Kabemba.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.