Baadhi ya Watalii kutoka nchi za Ulaya wakipata maelezo kutoka kwa mchuuzi wa mihogo ya kuchoma kuhusu chakula hicho wakati walipopita kwenye mtaa wa mchambawima mjini Zanzibar leo mchana wakiwa katika matembezi ya kujioneka sehemu mbalimbali za Kihistoria za Mjimkongwe. Picha na Matin Kabemba.
Kamati ya Bunge yaridhishwa na maelekezo wanayotoa kwa DART
-
*DART yaahidi kufanyia kazi maelekezo mengine kiutendaji
Na Chalila Kibuda, Michuzi TV
Kamati ya Bunge ya Kudumu ya TAMISEMI imesema kuwa imeridhishwa ma...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment