
Baadhi ya Watalii kutoka nchi za Ulaya wakipata maelezo kutoka kwa mchuuzi wa mihogo ya kuchoma kuhusu chakula hicho wakati walipopita kwenye mtaa wa mchambawima mjini Zanzibar leo mchana wakiwa katika matembezi ya kujioneka sehemu mbalimbali za Kihistoria za Mjimkongwe. Picha na Matin Kabemba.
No comments:
Post a Comment