Baadhi ya Magari yakiwa yameegeshwa kandokando ya Barabara ya Kivukoni jijini Dar es Salaam, bila kujali wala kufuata taratibu za maegesho, lakini pamoja na kutokuwa ni sehemu maalum ya maegesho bado wanaofanya kazi ya kuegesha magari wamekuwa wakiwatoza ushuru watu wanaoegesha magari mahala kama hapa, jambo ambalo linasababisha mahala hapa kuonekana ni maegesho halali.
Habari kubwa Magazetini Kenya leo April 25, 2024
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania April 25,
2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na
za nyuma Magazetini k...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment