Habari za Punde

*MAEGESHO YASIYO RASMI

Baadhi ya Magari yakiwa yameegeshwa kandokando ya Barabara ya Kivukoni jijini Dar es Salaam, bila kujali wala kufuata taratibu za maegesho, lakini pamoja na kutokuwa ni sehemu maalum ya maegesho bado wanaofanya kazi ya kuegesha magari wamekuwa wakiwatoza ushuru watu wanaoegesha magari mahala kama hapa, jambo ambalo linasababisha mahala hapa kuonekana ni maegesho halali.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.