Raia wa kigeni mwenye asili ya China, akielewana bei na mfanyabiashara wa samaki, ili kupunguziwa bei ya Samaki aina ya Kamba Kochi. Samaki huyo ndiye samaki mwenye bei kubwa kuliko wote wanaopatikana katika Bahari ya Hindi, ambapo mmoja kama huyu huuzwa kwa Sh. 85,000 ama hupimwa kwa kilo moja kwa Sh. 35, 000.
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo April 20, 2024
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam April 20,
2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na
za nyuma za Maga...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment