Ofisa Udhamini wa Vodacom Tanzania, Ibrahim Kaude,(kulia) akimwangalia mrembo Fatma Pongwe, anayeshiriki katika kinyang'anyiro cha kumskaka Miss Kinondoni 2011, wakati akichora mnyama aina ya Twiga katika shindano la kusaka vipaji lilofanyika jana jioni kwenye kumbi wa Hoteli ya Giraffe.Vodacom Tanzania ndiyo wadhamini wakuu wa shindano la Miss Tanzania.
CHANGAMOTO YA USAFIRI WATUMISHI WIZARA YA ARDHI KUPUNGUA
-
Na *Munir Shemweta, WANMM*
Changamoto ya usafiri inayowakabili watumishi wa wizara ya ardhi Nyumba na
Maendeleo ya Makazi sasa inaenda kupungua kufua...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment