Washiriki 11 wa Shindano la Vodacom Miss Kanda ya Mashariki wanaotarajia kupanda jukwaani hii leo katika ukumbi wa Hotel ya Oasis wakiwa katika picha ya pamoja wakiwa katika kambi yao ya mazoezi iliyopo Hoteli ya Usambara mjini Morogoro. Kampuni ya MD Digital Company ni moja kati ya wadhamini wa shindano hilo ambapo itamzawadia mrembo atakayeibuka kidedea na kuvishwa taji la Miss Photogenic katika shindano hilo.
Benki ya Stanbic Tanzania yatoa msaada hospitali ya Rufaa ya Mawenzi mkoani
Kilimanjaro.
-
*Ni sehemu ya mpango endelevu wa kusaidia jamii kwa kuchangia uboreshaji wa
sekta ya Afya.
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Mhe. Nurdin Babu (katikati) akipok...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment