Mchezaji wa Pool wa Mkoa wa kimichezo wa Kinondoni, Ally Akida akicheza na mpinzani wake Ally Akbar wa Temeke wakati wa Bonanza la Mikoa mitatu ya Dar es Salam lililofanyika na kuandaliwa na Mkoa wa Kinondoni Meeda Sinza jana. Katika mchezo huo Ally Akida alishinda.
TAIFA STARS YACHAPWA 2-1 NA SUDAN KIRAFIKI SAUDI ARABIA
-
TIMU ya taifa ya Tanzania imefungwa bao 1-0 na Sudan katika mchezo wa
kirafiki leo Uwanja wa King Fahd Sport City mjini Ta'if, Saudi Arabia.
Katika mchezo ...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment