Miongoni mwa mambo na mapendekezo aliyoyataja Kocha huyu mpya anayekuja kukisuka kikosi cha Wanajangwani, Maximo, ni pamoja na kuwahitaji baadhi ya wachezaji katika kikosi chake akiwamo Mrisho Ngasa na wengineo. Kocha huyo anatarajia kuwasili nchini siku ya jumatano kwa ajili ya kukamilisha taratibu zote zilizosalia za kusaini mkataba wa kuifundisha timu ya Yanga.
SHILATU ATOA TAHADHARI UCHAGUZI
-
~ Aeleza Kuna maisha baada ya uchaguzi
Na Mwandishi wetu Mpapura
Afisa Tarafa Mpapura Emmanuel Shilatu amewataka Wananchi kushiriki uchaguzi
wa Serikali ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment