Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mhe. Martha Mlata akiimba kwa
hisia wimbo wa maombolezo kwenye
shughuli ya kuaga mwili wa marehemu
Mhe. Eugen Mwaiposa aliyekuwa mbunge wa Ukonga iliyofanyika leo katika
viwanja vya bunge mjini Dodoma.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Mhe. Edward Lowassa
(kulia) akizungumza jambo na Mbunge wa Singida Mashariki Mhe. Tundu Lissu
kwenye viwanja vya bunge leo mjini Dodoma wakati wa shughuli ya kuaga mwili wa marehemu Mhe. Eugen Mwaiposa.
Baadhi ya Wabunge wakiwa kwenye hali ya majonzi mara baada
ya kuwasili kwa mwili wa marehemu Mhe.
Eugen Mwaiposa aliyekuwa mbunge wa Ukonga kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma jana.
No comments:
Post a Comment