Mbunge, James Mbatia, akichukuliwa alama za vidole wakati wa zoezi la uandikishwaji
katika daftari la kudumu la wapiga kura kwenye kijiji cha Kwamare Kata ya Kirua Vunjo, jana.
Mh
Mbatia akiweka vidole gumba kwa ajili ya kuchukuliwa alama.
Mh
Mbatia akitia saini katika kifaa kimoja wapo kwa ajili ya kuweka kumbukumbu.
Mh. Mbatia akihakiki kitambulisho chake kabla ya kuprintiwa
Afisa
uandikishaji akimkabidhi Mh Mbatia kitamburisho chake mara baada ya kumaliza
zoezi la uandikishaji.
Mh
Mbatia akionesha kitamburisho maalumu kwa ajili ya zoezi la kupiga kura
litakalofanyika mwezi oktoba.
Msaidizi
wa Mh Mbatia ,Hamis Hamis akikabidhiwa kitamburisho chake mara baada ya
kumaliza zoezi la kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura.
No comments:
Post a Comment