Habari za Punde

*KUTOKA UWANJA WA TAIFA, YANGA WANAONGOZA MABAO 2-1, SASA NI KIPINDI CHA PILI

 Mshambuliaji wa Yanga, Donald Ngoma, akiruka kushangilia bao lake alilofunga katika dakika ya 30 kipindi cha kwanza cha mchezo dhidi ya JKT Ruvu kwenye mchezo unaoendelea hivi sasa Uwanja wa Taifa, 
 Kiungo wa Yanga, Haruna Niyonzima, akimiliki mpira katikati ya wachezaji wa JKT Ruvu.
Sehemu ya mashabiki wa Yanga.....

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.