Kanali
Iddi Kipingu, akavishwa skafu na mwanafunzi Junion Joseph, wakati alipowasili
kwenye maafali ya tatu ya shule ya Fountain Gate Academy iliyopo Tabata, kama mgeni rasmi. Maafali hayo yalifanyika mwishoni mwa wiki iliyopita.
Skauti wakimuongoza mgeni rasmi, Kanali Iddi Kipingu na mkuu wa shule Bw Julius Franec, kuelekea meza kuu wakati wa sherehe za maafali ya tatu ya shule Fountain Gate Academy iliyopo
Tabata
Baadhi
ya Wanafunzi wa shule Fountain Gate
Academy wakiwa kwenye sherehe ya maafali ya tatu
Baadhi
ya walimu wa shule ya Fountain Gate
Academy wakiwa kwenye sherehe ya maafali ya tatu
Wanafunzi wa
darasa la saba wakiwa kwenye maafali ya tatu ya shule ya Fountain Gate Academy
yaliyofanyika jana katika viwanja vya shule hiyo ilipo Tabata
Wanafunzi wa chekechea wakiwa kwenye maafali ya tatu ya Fountain Gate Academy
No comments:
Post a Comment