Sheikh Mkuu wa Baraza la Waislamu Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeiry (kushoto) Sheikh Mkuu wa Mtoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhad Mussa (kulia) na Sheikh Sayd Hassan, kutoka Kenya. wakiwa katika picha ya pamoja, katika mji mtakatifu wa Makka, walikokwenda kutekeleza Ibadaa ya Hija. Sikukuu ya Eid El Haj inatarajia kuwa Septemba 24.
DC Mpogolo Awapongeza Walimu kwa Kazi Kubwa ya Kuandaa Viongozi
-
MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, amewapongeza walimu kwa kazi kubwa
wanayoifanya katika jamii, akisema ni nguzo muhimu katika ujenzi wa taifa
...
6 days ago

No comments:
Post a Comment