Habari za Punde

*MKUTANO WA MAZINGIRA LEO

Waziri wa Nchi,Ofisi ya Makamu wa Rais(Mazingira) Dkt. Binilith Mahenge akizungumza na waandishi wa habari leo  katika ukumbi wa mikutano wa ofisi jijini Dar es Salaam kuhusu maadhimisho ya siku ya kimataifa ya hifadhi ya tabaka la ozone yakayofanyika kesho Septemba 16, mwaka huu.Kulia ni Kaimu Katibu Mkuu wa Ofisi hiyo, Injia Adelina Madete. Picha na Maelezo

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.