Kocha Mkuu Mpya wa Timu ya Azam FC, Zeben Hernandez (katikati) akiongozana na msaidizi wake, Rayco Gacia (kushoto) na Mkurugenzi Mkuu wa timu hiyo, Sadi Kawemba,baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaamjana kwa ajili ya kuingia mkataba wa makubaliano kukinoa kikosi cha Wana Lambalamba Azam Fc, katika msimu ujao wa Ligi Kuu Bara.
DC Mpogolo Awapongeza Walimu kwa Kazi Kubwa ya Kuandaa Viongozi
-
MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, amewapongeza walimu kwa kazi kubwa
wanayoifanya katika jamii, akisema ni nguzo muhimu katika ujenzi wa taifa
...
6 days ago
No comments:
Post a Comment