Askari wa Usalama Barabarani, akimhoji dereva mwanamama aliyekuwa akitanua kukwepa foleni iliyokuwa ndefu katika Barabara ya Goba eneo la Masana, Mbezi Beach leo. Dereva huyo alitanua na kujikuta akizuia magari yaliyokuwa yakiingia.
POLISI NGARA WAWAFIKIA WATOTO YATIMA KUPITIA VITUO VYA MALEZI
-
Jeshi la Polisi Wilaya ya Ngara, Mkoa wa Kagera, limeendelea kuwafikia
wananchi na makundi mbalimbali yenye uhitaji katika jamii kwa lengo la
kuimarisha ...
9 hours ago

No comments:
Post a Comment