Askari wa Usalama Barabarani akiwashusha abiria (wenye sare za Bluu) waliokuwa katika gari lenye namba za usajili T 179 ACZ, katika Kituo cha daladala cha Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam. Haikuweza kufahamika kosa la abiria na dereva wa gari hilo.
DC Mpogolo Awapongeza Walimu kwa Kazi Kubwa ya Kuandaa Viongozi
-
MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, amewapongeza walimu kwa kazi kubwa
wanayoifanya katika jamii, akisema ni nguzo muhimu katika ujenzi wa taifa
...
5 days ago

No comments:
Post a Comment