Mafundi wa kampuni ya Ujenzi ya Estim wakitumia makatapila kukandamiza Barabara ya kuingilia Kituo cha Daladala cha Makumbusho, wakati wakikarabati njia hiyo iliyokuwa imeharibika kutokana na mvua zilizokuwa zikinyesha jijini na kusababisha usumbufu mkubwa kwa watumiaji wa njia hiyo,
DC Mpogolo Awapongeza Walimu kwa Kazi Kubwa ya Kuandaa Viongozi
-
MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, amewapongeza walimu kwa kazi kubwa
wanayoifanya katika jamii, akisema ni nguzo muhimu katika ujenzi wa taifa
...
5 days ago


No comments:
Post a Comment