E bwana eh! hiyo kali kaka Membe, usinchekeshe mieeeeee!!!!!! Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe (kushoto), Mbunge wa Maswa, Magalle Shibuda (katikati), Mbunge wa Kyela Harrison Mwakyembe (mbele) na Mwekezaji wa Umeme Mkoa wa Singida wa kampuni ya TBC 1998 Ltd, Isaac Mwamanga (kulia) wakifurahia jambo nje ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma, leo. Picha na (SPM)
CHANGAMOTO YA USAFIRI WATUMISHI WIZARA YA ARDHI KUPUNGUA
-
Na *Munir Shemweta, WANMM*
Changamoto ya usafiri inayowakabili watumishi wa wizara ya ardhi Nyumba na
Maendeleo ya Makazi sasa inaenda kupungua kufua...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment