Mfagilieni Idd Azan jamani, kuingia mjengoni mwakani ipo kazi ohooo! Spika wa Bunge, Samuel Sitta (kushoto) akisalimiana Mwenyekiti wa Umoja Wanawake Tanzania (UWT), Sophia Simba, akiwa na wageni wa Idd Azan, Viongozi wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) wa Jimbo la Kinondoni, wakati walipofika kutembelea shughuli za Bunge mjini Dodoma, leo. Picha na (SPM)
CHANGAMOTO YA USAFIRI WATUMISHI WIZARA YA ARDHI KUPUNGUA
-
Na *Munir Shemweta, WANMM*
Changamoto ya usafiri inayowakabili watumishi wa wizara ya ardhi Nyumba na
Maendeleo ya Makazi sasa inaenda kupungua kufua...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment