Hapa ndo mjengoni jamani........Mbunge wa Jimbo la kinondoni, Idd Azan, akiwatembeza wageni wake, Viongozi wa Umoja wa wanawake Jimbo la kinondoni (UWT), kwenye Viwanja vya Bunge mjini Dodoma leo. Picha na (SPM)
AZAM FC YAANZA LIGI,YAIKUNG'UTA KMC MABAO 4-0 MWENGE
-
TIMU ya Azam FC imeichapa KMC mabao 4-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC
Tanzania uliofanyika Uwanja wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, KMC
Complex...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment