Simu hizo jamanii Ohooo........ Jamani tuwe waangalifu kutumua simu za mkononi, wakati tukia njiani ama barabarani, waweza kujikwaa ama kugongana na mti, mtu hata gari ikawa balaa, maliza safari yako kisha anza kuchati ok!. Picha na (SPM)
Elon Musk kuwa trilionea wa kwanza duniani ifikapo 2027
-
Elon Musk yuko kwenye kasi ya kuwa trilionea wa kwanza duniani ifikapo
2027, kulingana na ripoti mpya kutoka kwa kundi linalofuatilia utajiri.
Ugunduzi w...
32 minutes ago
No comments:
Post a Comment