Jamani dada zetu wakati mwingine mavazi yenu mfikirie pa kuyavalia, Visha vya miguuni na mipasuo Bungeni vya nini?? Mitego mitaani hadi kwa Waheshimiwa?, Wanafunzi wa Chuo cha Uandishi wa Habari kutoka jijini Dar es Salaam, wakiwa kwenye Viwanja vya Bunge mjini Dodopma jana, wakati walipofika kutembele na kuona shughuli za Bunge huku wakiwa wamevali mavazi ya kutega yenye mipasuo na Vijishanga miguuni. Eti haya ndiyo maadili ya fani ya Uandishi wa Habari??, hapa bado hata kuhitimu masomo yao je watakapohitimu mavazi heshima ya mavazi itachukua nafasi yake?? PPicha na (SPM)
TRA DODOMA YATOA ELIMU YA KODI KWA MJASIRIAMALI IDRISA WA BAHI KUFUATIA
MALALAMIKO YA KIKODI
-
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Dodoma tarehe 15 ilifanya ziara ya
kikazi kumfikia mjasiriamali Idrisa Aclay Chisigwa wa Wilaya ya Bahi, kwa
lengo...
27 minutes ago
No comments:
Post a Comment