Nasi tunatamani kuingia tumuone vizuri Jakaya jamani...Watoto wakiwa kwenye uzio wa senyenge, wakitamani kufika eneo la tukio kwenye moja ya hafla iliyofanyika hivi karibuni mjini Dodoma, ambayo mgeni rasmi alikuwa ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete. Picha na (SPM)
NMB waipiga tafu mashindano ya kimataifa ya Diplomatic Golf.
-
Benki ya NMB imefanikiwa kukabidhi udhamini wa vifaa vya michezo kwa ajili
ya wachezaji 150 wanaotarajia kushiriki mashindano ya kimataifa ya
Diplomat...
5 minutes ago
No comments:
Post a Comment