Hakia......Buku langu utanipa la sivyo nakupasua...... Vijana ambao hawakuweza kufahamika majina yao mapema, wanaojitafutia riziki ya kila siku kwa kuosha magari kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma wakipimana ubavu baada ya kudhurumiana BUKU, ambalo mmoja wao alilipwa na mteja wao na kudhurumu mwenzake. Picha na (SPM)
CHANGAMOTO YA USAFIRI WATUMISHI WIZARA YA ARDHI KUPUNGUA
-
Na *Munir Shemweta, WANMM*
Changamoto ya usafiri inayowakabili watumishi wa wizara ya ardhi Nyumba na
Maendeleo ya Makazi sasa inaenda kupungua kufua...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment