Hakia......Buku langu utanipa la sivyo nakupasua......
Vijana ambao hawakuweza kufahamika majina yao mapema, wanaojitafutia riziki ya kila siku kwa kuosha magari kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma wakipimana ubavu baada ya kudhurumiana BUKU, ambalo mmoja wao alilipwa na mteja wao na kudhurumu mwenzake. Picha na (SPM)
UDSM YAISHUKURU SERIKALI YA AWAMU YA SITA KWA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA
ELIMU NA UTAFITI
-
Lindi — Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimeishukuru Serikali ya Awamu
ya Sita kwa kuendelea kukiimarisha kupitia uboreshaji wa miundombinu ya
ku...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment