Mwenyekiti wa Taswa Fc, majuto Omar (kulia) akimkabidhi mipira Meneja wa Duka la Vodacom Mkoa wa Tanga Lusekelo Katamba, mara baada ya kumalizika kwa mchezo wa kirafiki kwenye Uwanja wa Mkwakwani mwishoni mwa wiki. Taswa ilishinda 3-0. Picha na (SPM)
AFCON 2025:DHORUBA YA SARE YAKUMBA VIGOGO, BENIN YAFUFUA MATUMAINI
-
Mzunguko wa pili wa hatua ya makundi ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON
2025) nchini Morocco umeshuhudia kimbunga cha sare kikizikumba timu vigogo,
...
18 minutes ago
No comments:
Post a Comment