Mfanyabishara wa samaki wa kukaanga katika Kituo cha mabasi ya abiria cha Nangulukulu, ambaye hakuzweza kufahamika jina lake, 'fasta', akiwa na kabati lake la kuuzia samaki hao lenye maandishi yasomekayo kama 'Yote Njaa', hii pia yawezekana ikawa ni njia pekee inayomwezesha kuwanasa wateja wengi na hasa wale wasafiri wapitao njia hiyo ambao wengi wao huenda wakawa wakivutiwa na neno hilo pekee, vipi si imetulia hiyooooooo?????????? nawewe je?. Picha na (SPM)
WAZIRI WA FEDHA AKUTANA NA UJUMBE WA KITENGO CHA KUDHIBITI FEDHA HARAMU
(FIU)
-
*Na. Joseph Mahumi na Saidina Msangi, WF, Dodoma*
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amekutana na kufanya
mazungumzo na ujumbe kutoka ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment