Rais Jakaya Kikwete (kushoto) akipokea zawadi ya picha ya kuchorwa kutoka kwa Miss Kenya, Tabitha Mumbi (kulia) na Miss Tanzania, Julieth William, wakati warembo wa Miss East Africa 2009, walipomtembelea Ikulu Dar es Salaam juzi usiku na kushiriki naye chakula cha usiku. Shindano la kumsaka Miss East Africa 2009, lililofanyika wiki iliyopita jijini Dar es Salaam. Picha zote na (SPM)
VIPIGO AFCON VYALETA KIZAAZAA GABON
-
.Benchi la ufundi lavunjwa nahodha Ubameyang marufuku kuchezea Gabon
Serikali ya Gabon imechukua maamuzi mazito kwa kumpiga marufuku nahodha na
mshamb...
24 minutes ago
No comments:
Post a Comment