Habari za Punde

*MATUKIO YA JIJINI DAR ES SALAAM LEO

Askari Mgambo wa Manispaa ya Ialala Dar es Salaam wakipakia meza za wafanyabiasahara walizowanyanga’nya walipokutwa wanafanyabiashara sehemu zisizoruhusiwa kisheria.

Duh! sijui hawa machinga leo wamekimbilia wapi hata hawaonekani??? Askari Mgambo wa Manispaa ya Ilala, wakiwa wamekalia haya mananiliu yao,... eti marungu sijui hawasiki maumivu hawaaaaaa na sijui ni staili gani hii ya kukalia haya amananiliu tena kwa kusimamisha, eti wanakula mingo ya kuwatokea Machinga karibu kabisa na Soko la Mchikichini Ilala Dar es Salaam, kama walivyonaswa na Sufianimafoto.

Hii ndiyo hali halisi ya watu wanaoishi mabondeni hizi ni baadhi ya nyumba zilizopo maeneo ya Mwananyamala Kisiwani, Dar es Salaam zikiwa zimezingilwa na maji kufuatia mvua zilizoanza kunyesha jijini.

















No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.