Waziri wa Miundombinu, Shukuru Kawambwa (kushoto) akibadilishana mkataba wa ushirikiano wa usafiri wa anga na Kamishina wa Maendeleo ya Kiuchumi na Uwekezaji wa Jordan, Dr. Salim Al Moghrabi kwa niaba ya Tanzania na Jordan katika siku ya pili ya ziara ya Rais Kikwete nchini Jordan. Utiaji saini huo ulifanyika katika mji wa Aqaba uliopo kando kando ya bahari ya sham juzi. Picha na John Lukuwi wa MAELEZO
DKT NATU: TANZANIA NA UNICEF KUENDELEZA USHIRIKIANO
-
*Na. Joseph Mahumi, WF, Dodoma*
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-Maamry Mwamba, amekutana na
kufanya mazungumzo na Naibu Mwakilishi wa Shiri...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment