Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Isidore Shirima (kulia) akipokea sehemu ya msaada wa baiskeli 10 mipira 20 na vyerehani 10, kutoka kwa Mwakilishi wa Balozi wa China nchini, Fu Jijun, wakati wa hafla hiyo fupi iliyofanyika jana kwenye Ofisi ya Mkuu wa Mkoa. Msaada huo uliotolewa kwa ajili ya kuboresha ushirikiano kati ya Tanzania na China, utapelekwa katika wilaya za Longido na Arumeru na maeneo ambayo inapita barabara ya Arusha –Namanga. Picha na Eliya Mbonea, Arusha
Mwitikio wa Wananchi Walazimisha Tume ya Amani Kuongezewa Muda wa Kazi
-
Mamlaka ya Uteuzi imeridhia maombi ya kuongezewa muda kwa Tume ya
Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyotokea wakati na baada ya
Uchaguzi Mkuu w...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment