Katibu wa Siasa na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza, na Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa, Elirehema Kaaya, akitangaza nia yake ya kuwania Ubunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki ambapo atakuwa akichuana na mbunge wa sasa, Jeremia Sumari, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi.
WANAANGA WANAREJEA: JE ORION ITAHIMILI DHORUBA YA MOTO IKIKATA ANGAHEWA KWA
KASI YA KILOMETA 40,000 KWA SAA?
-
Dunia leo inaelekeza macho yote kwenye ngao ya joto ya chombo cha Orion
wakati Artemis 2 inajiandaa kuingia katika angahewa ya Dunia kwa kasi ya
karibu...
36 minutes ago
No comments:
Post a Comment