Katibu wa Siasa na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza, na Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa, Elirehema Kaaya, akitangaza nia yake ya kuwania Ubunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki ambapo atakuwa akichuana na mbunge wa sasa, Jeremia Sumari, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi.
DKT. KIJAJI: TANAPA, TAWA NENDENI NA KASI YA RAIS SAMIA KUCHECHEMUA UTALII
-
Na Sixmund Begashe, Iringa
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dkt. Ashatu Kijaji, amezitaka taasisi za
uhifadhi nchini, Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania ...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment