Rais Jakaya Kikwete, akipiga picha ya kumbukumbu pamoja na baadhi ya wenyeviti, viongozi wa Vyama vya Siasa, na baadhi ya Mawaziri na viongozi wa Kamati za Bunge, wakati wa hafla ya kuweka saini Sheria ya matumizi ya gharama za fedha za uchaguzi iliyofanyika katika Viwanja Ikulu, Dar es Salaam leo.
DKT. KIJAJI: TANAPA, TAWA NENDENI NA KASI YA RAIS SAMIA KUCHECHEMUA UTALII
-
Na Sixmund Begashe, Iringa
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dkt. Ashatu Kijaji, amezitaka taasisi za
uhifadhi nchini, Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment