Warizi wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkulo (katikati) akipokea sehemu ya msaada wa magodoro na branketi wenye thamani ya Sh. Milini 7.5, kutoka kwa Mwenyekiti wa Kampuni ya Tanzania Toyota Limited, Hatim Karimjee, kwa ajili ya wananchi wa Kilosa waliokumbwa na mafuriko hivi karibuni. Hafla hiyo fupi ya makabidhiano hayo ilifanyika leo, Dar es Salaam.
SERIKALI YAWAASA VIJANA KUTUMIA FURSA ZINAZOPATIKANA KUTOKANA NA MABADILIKO
YA TEKNOLOJIA YA HABARI NA MAWASILIANO
-
Na. Ramadhani Kissimba, WF – Dar es Salaam
Serikali imewataka vijana wanaohitimu masomo katika vyuo mbalimbali nchini
kutumia fursa zinazopatikana kutoka...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment