Balozi wa Japan nchini, Hiroshi Nakagawa (kulia) akisainiana mkataba na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kahama kwa ajili ya kujenga mabweni mawili ya wasichana katika Shule ya Sekondari ya Baloha wilayani humo, wakati wa hafla fupi ya kutiliana saini mikataba mbalimbali ya maendeleo na wakurugenzi mbalimbali wa wilaya tofauti iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo.
RAIS DKT. MWINYI: SMZ INATHAMINI MCHANGO WA MAWAKILI KWA WANANCHI
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein
Ali Mwinyi, amekihakikishia Chama cha Mawakili Zanzibar kuwa Serikali
inathamini...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment