Mlezi wa Chama cha Wapigapicha za Habari Tanzania, Rais Jakaya Kikwete, akijaribu kupiga picha Ikulu Dar es Salaam jana kwa kutumia kamera ya mpiga picha wa Jambo Leo, Richard Mwaikenda (hayupo pichani) baada ya kumalizika kwa sherehe za kuapisha Balozi mpya wa Tanzania nchini Malawi na makatibu tawala mkoa wanne.
SHIRIKA LA DAWA ASILI LATOA TAMKO TAARIFA ZA KUPOTEA KWA NYETI ZA WANAUME
-
Na Mwandishi Wetu
SHIRIKA la Dawa Asilia na Ulinzi wa Mazingira (TRAMEPRO)limetoa ufafanuzi
kuwa kwa mujibu wa taaluma ya afya na sayansi ya mwili wa binad...
32 minutes ago
No comments:
Post a Comment