Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dk Amani Abeid Karume, akisalimiana na Wazee wa Tumbatu mara baada ya kuwasili katika bandari ya Tumbatu, kuhudhia maulid ya kila mwaka ya kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W). iliyofanyika katika msikiti wa Ijumaa Tumbatu Gomani. Picha na Ramadhan Othman, Tumbatu.
DKT. KIJAJI: TANAPA, TAWA NENDENI NA KASI YA RAIS SAMIA KUCHECHEMUA UTALII
-
Na Sixmund Begashe, Iringa
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dkt. Ashatu Kijaji, amezitaka taasisi za
uhifadhi nchini, Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania ...
19 minutes ago
No comments:
Post a Comment