Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dk Amani Abeid Karume, akisalimiana na Wazee wa Tumbatu mara baada ya kuwasili katika bandari ya Tumbatu, kuhudhia maulid ya kila mwaka ya kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W). iliyofanyika katika msikiti wa Ijumaa Tumbatu Gomani. Picha na Ramadhan Othman, Tumbatu.
Kimataifa : Pinda Ahutubia Kongamano vyama vya Ukombozi akimwakilisha Dkt
Samia Huko Afrika Kusini
-
Na Mwandishi Wetu
Waziri Mkuu mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),
Ndg. Mizengo Pinda, amesema ushirikiano na mshikamano wa vya...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment