Warizi wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkulo (katikati) akipokea sehemu ya msaada wa magodoro na branketi wenye thamani ya Sh. Milini 7.5, kutoka kwa Mwenyekiti wa Kampuni ya Tanzania Toyota Limited, Hatim Karimjee, kwa ajili ya wananchi wa Kilosa waliokumbwa na mafuriko hivi karibuni. Hafla hiyo fupi ya makabidhiano hayo ilifanyika leo, Dar es Salaam.
WAZIRI MKUU AKAGUA MADHARA YA MOTO SOKO LA SIMU 2000, AAGIZA HATUA ZA
HARAKA KUREJESHA BIASHARA
-
-Asema Serikali itatoa kauli baada ya uchunguzi
-Aagiza vibanda vipya vigawiwe kwa wafanyabiashara halisi
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameagiza hat...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment