Warizi wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkulo (katikati) akipokea sehemu ya msaada wa magodoro na branketi wenye thamani ya Sh. Milini 7.5, kutoka kwa Mwenyekiti wa Kampuni ya Tanzania Toyota Limited, Hatim Karimjee, kwa ajili ya wananchi wa Kilosa waliokumbwa na mafuriko hivi karibuni. Hafla hiyo fupi ya makabidhiano hayo ilifanyika leo, Dar es Salaam.
USHIRIKIANO WA MST NA SERIKALI WAZIDI KUIMARISHA HUDUMA ZA UZAZI WA MPANGO
TANZANIA
-
Mkurugenzi Mkazi wa Maria Stopes Tanzania, Patrick Kinemo (kulia)
akizungumza na Mhudumu wa Afya ngazi ya Jamii (katikati, aliyevaa sweta
nyekundu) pamoja ...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment