Mwenyekiti wa Bodi ya benki ya KCB, Mhe Janet Mbene akikabidhi sehemu ya msaada wa vyakula na vitu mbalimbali ikiwa ni zawadi ya sikukuu ya Pasaka kwa watoto yatima wa kituo cha Mbagala Yatima Group Trust Fund kituoni hapo, Mbagala, Dar es Salaam leo. Wengine kutoka kushoto ni Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa KCB, Christina Manyenye, Mwenyekiti wa kituo hicho, Winfrida Lubanza na Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Joram Kiarie.
SERIKALI KUENDELEA KUWEKEZA SEKTA YA UCHUKUZI, NIT YATAJWA NGUZO MUHIMU YA
UZALISHAJI WA WATAALAM
-
SERIKALI ya Awamu ya Sita imeahidi kuendelea kuwekeza kwa kiwango kikubwa
katika sekta ya uchukuzi ili kuhakikisha Taifa linakuwa na miundombinu
imar...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment