Askari Polisi, akiwa na siraha huku akiwa makini kuangalia kutupa macho ndani ya chaka la majani walikojificha majambazi waliopora fedha na Vocha Mwananyamala Dar es Salaam leo asubuhi na kukimbilia eneo hilo la Tandale na baadaye kukamatwa katika kichaka hicho na kupelekwa kituo cha polisi cha Kati.
Baadhi ya raia waliotoa ushirikiano katika kuwatafuta majambazi hao, wakiwa eneo la tukio. Lakini imeelezwa kuwa baadhi ya raia hao walikatiwa kidau na mmoja wa majambazi hao na kumtorosha kwa kumuonyesha njia ya kutolokea.
No comments:
Post a Comment