Askari wa Jiji wa Manispaa ya Ilala, akimkwida kijana huku akimuongoza kumpeleka kusikojulikana, huku wakikatiza katikati ya mitaa ya Posta leo mchana, Askari hao siku hizi wamekuwa wakidili zaidi na vijana wanaojishughulisha na biashara ndogondogo za mkononi na kuwanyang'anya biashara zao na kisha kutokomea nazo, jambo ambalo lilisha kemewa na Waziri wa Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana, Profesa Juma Kapuya, aliyewataka Mgambo hao kutowanyang'anya biashara zao baada ya kuwakamata.
SERIKALI KUENDELEA KUWEKEZA SEKTA YA UCHUKUZI, NIT YATAJWA NGUZO MUHIMU YA
UZALISHAJI WA WATAALAM
-
SERIKALI ya Awamu ya Sita imeahidi kuendelea kuwekeza kwa kiwango kikubwa
katika sekta ya uchukuzi ili kuhakikisha Taifa linakuwa na miundombinu
imara p...
25 minutes ago
No comments:
Post a Comment