Askari wa Jiji wa Manispaa ya Ilala, akimkwida kijana huku akimuongoza kumpeleka kusikojulikana, huku wakikatiza katikati ya mitaa ya Posta leo mchana, Askari hao siku hizi wamekuwa wakidili zaidi na vijana wanaojishughulisha na biashara ndogondogo za mkononi na kuwanyang'anya biashara zao na kisha kutokomea nazo, jambo ambalo lilisha kemewa na Waziri wa Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana, Profesa Juma Kapuya, aliyewataka Mgambo hao kutowanyang'anya biashara zao baada ya kuwakamata.
DIT Yaweka Historia kwa Kupata Cheti cha Kimataifa cha ISO 21001:2018
-
Na Mwandishi Wetu
DAR ES SALAAM, Aprili 10, 2026 — Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT)
imeweka historia baada ya kuwa taasisi ya kwanza nchini kupata...
25 minutes ago
No comments:
Post a Comment