Mshiriki wa Big Brother Africa, Tatiana Durao (katikati) akiwa na Meneja wake, Alice Mutumba (kulia) na Msaidizi wake, Ana Antonio, baada ya kumaliza mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, ambapo litangaza kuwa amefika nchini kwa ajili ya kurekodi kipindi chake kitakachokuwa kikirushwa na Kituo cha MNET , kiitwacho 'Every Body Loves Me'.
WAZIRI WA ARDHI DKT AKWILAPO AKUTANA NA RC MTWARA
-
Na Munir Shemweta, WANMM MTWARA
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo leo
tarehe 22 Desemba 2025 amekutana na kufanya m...
24 minutes ago
No comments:
Post a Comment