Katibu mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Blandina Nyoni, akimkabidhi vitabu vya maabara za Sayansi, Mkuu wa shule za maabara za Sayansi, Muhimbili, Colman Msuya, wakati wa hafla ya makabidhiano iliyofanyika jijini Dar es salaam leo, kwa msaada wa Watu wa Marekani kusaidia shule na vyuo mbalimbali vya sayansi nchini.
CRDB YAADHIMISHA MEI MOSI KITAIFA NJOMBE
-
*Na Mwandishi Wetu*
*Njombe. CRDB Bank Plc imeendelea kuonesha dhamira yake ya kuunga mkono
wafanyakazi na maendeleo ya taifa kwa kudhamini na kushirik...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment