Katibu mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Blandina Nyoni, akimkabidhi vitabu vya maabara za Sayansi, Mkuu wa shule za maabara za Sayansi, Muhimbili, Colman Msuya, wakati wa hafla ya makabidhiano iliyofanyika jijini Dar es salaam leo, kwa msaada wa Watu wa Marekani kusaidia shule na vyuo mbalimbali vya sayansi nchini.
UDSM YAISHUKURU SERIKALI YA AWAMU YA SITA KWA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA
ELIMU NA UTAFITI
-
Lindi — Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimeishukuru Serikali ya Awamu
ya Sita kwa kuendelea kukiimarisha kupitia uboreshaji wa miundombinu ya
ku...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment