hii ndiyo ramani ya nyumba zinazojengwa maeneo haya ambapo hata choo huweza kujengwa dirishani kwa jirani, na inapofikia kipindi hiki cha mvua huwa ni balaa kwani maji hukosa njia ya kupita.
Huu ndiyo mtindo wa nyumba za maeneo hayo ambazo huwa Under Ggound huku zikiwa ni sehemu ya kutupia takataka.
CHOO CHA PASPOT SIZE
Hiki ni choo cha Paspot Size, ambacho ni miongoni mwa vyoo vinavyotumiwa na wakazi wengi wa maeneo hayo, ambacho huwa karaa kipindi hiki cha mvua kwani hutililisha maji machafu.
Takataka na chupa za maji zikiwa zimejaa kwenye mfereji wa kupitishia maji katika daraja la Msasani Chama na kusababisha kuziba kwa mfereji huo hali inayosababisha mafuriko katika eneo hilo kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam.
Nguzo za zege zikijengwa katika daraja la TMJ Msasani ili kuzuia magari yanayoweza kutumbukia darajani hapo kutokana na ufinyu wa barabara hiyo, ambayo hujaa maji kipindi hiki cha mvua na kutoonekana mwanzo na mwisho wa daraja hilo.
MAFOTO PRODUCTION & ENTERTAINMENT KWA MAHITAJI YAKO YA STILL PICTURE, VIDEO SHOOTING, MUSIC & Mc's KATIKA SHEREHE YA AINA YEYOTE. VIDEO EDDITING, COVER DISGNING, PPS ZA DK 3, POSTERS ZA AINA MBALIMBALI COVER CD PRINTING, BURNING CD N.K. WASILIANA NASI KWA NO, 0787 200005/0754, 0655-306109/0714 656660 BARUA PEPE:- muhidinuk@yahoo.co.uk,sufianimafotoblog@gmail.com AMA TEMBELEA www.sufianimafoto.com
WAZIRI WA ARDHI DKT AKWILAPO AKUTANA NA RC MTWARA
-
Na Munir Shemweta, WANMM MTWARA
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo leo
tarehe 22 Desemba 2025 amekutana na kufanya m...
WENYEJI MOROCCO WAANZA VYEMA AFCON 2025
-
WENYEJI, Morocco wameanza vyema Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika baada
ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Comoro katika mchezo wa Kundi A usiku wa
jan...
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ke...
-
[image: Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio]
Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio
alt=”” class=”w...
DIAMOND PLATINUMZ HOUSE 'STATE HOUSE'
-
Bila shaka muziki unalipa na ndio maana mwanamuziki wa Bongo Fleva, kutoka
Tanzania Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz, ameweza kujenga nyumba jambo
ambal...
No comments:
Post a Comment