Mota ya kuvuta maji ikiwa imefungwa katikati ya dimbwi la maji nje ya soko la Kariakoo Dar es Salaam kwa ajili ya kunyonya na kupunguza maji hayo yaliyojaa sokoni hapo kutokana na mvua iliyonyesha jijini jana, na kusababisha usumbufu kwa wananchi waliofika sokoni hapo.
SUA YASISITIZA MCHANGO WA WAFANYAKAZI, YAENDELEA KUBORESHA MAZINGIRA YA KAZI
-
Farida Mangube, Morogoro
CHUO Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kimesisitiza kuwa mafanikio yake
katika tafiti, ufundishaji na utoaji wa huduma kwa ...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment