Mota ya kuvuta maji ikiwa imefungwa katikati ya dimbwi la maji nje ya soko la Kariakoo Dar es Salaam kwa ajili ya kunyonya na kupunguza maji hayo yaliyojaa sokoni hapo kutokana na mvua iliyonyesha jijini jana, na kusababisha usumbufu kwa wananchi waliofika sokoni hapo.
TANZANIA NA NAMIBIA ZAANZA SAFARI MPYA YA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI; ZASAINI
HATI NNE ZA MAKUBALIANO IKULU DAR ES SALAAM
-
Na Mwandishi Wetu, BSKY Media
Tanzania na Namibia zimekubaliana kuendeleza uhusiano wao wa kihistoria
uliotokana na harakati za ukombozi kwa kuupa mwe...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment