Wajumbe CCM wa Halmashauri Kuu Kata ya Sinza D wakihakiki wanachama wa Tawi hilo ili kuwaingiza katika daftari la kudumu la wapiga kura ikiwa ni maandalizi ya kupiga kura za maoni kutafuta Diwani na Mbunge katika uchaguzi unaotarajia kufanyika Agost 8 mwaka huu, ambapo mwisho wa kuhakiki ni Juni 30 mwaka huu.
TARI Naliendele yashauri wakulima wa korosho kufuata hatua hizi kuleta tija
uzalishaji wa korosho nchini
-
Na Anne Robi, Mtwara
WATAALAMU wa kilimo cha korosho nchini wamewaasa wakulima kuanza kuandaa
mashamba yao kwa kufuata hatua kuu tatu na muhimu katika kul...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment