Wajumbe CCM wa Halmashauri Kuu Kata ya Sinza D wakihakiki wanachama wa Tawi hilo ili kuwaingiza katika daftari la kudumu la wapiga kura ikiwa ni maandalizi ya kupiga kura za maoni kutafuta Diwani na Mbunge katika uchaguzi unaotarajia kufanyika Agost 8 mwaka huu, ambapo mwisho wa kuhakiki ni Juni 30 mwaka huu.
DKT NATU: TANZANIA NA UNICEF KUENDELEZA USHIRIKIANO
-
*Na. Joseph Mahumi, WF, Dodoma*
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-Maamry Mwamba, amekutana na
kufanya mazungumzo na Naibu Mwakilishi wa Shiri...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment